shindabetlogo-white

2+ Safe Basketball Odds

Katika magroup yetu ya WhatsApp & Telegram tunaweka mikeka ya “2+ Safe Basketball Odds” buure ambayo imekua ikitoa ushindi mara kwa mara. Ukiamua kubeti mikeka hii kama ilivyo unaweza kujitengenezea faida nzuri kwani ushindi ni wa mara kwa mara.

 

Lakini je wajua kuna mbinu ya kuongeza faida ya mikeka hii? Yes ipo mbinu ya kimahesabu inayodhibiti hasara za mikeka inayochanika katika “2+ Safe Basketball Odds” zetu na kuongeza ushindi maradufu. Mbinu hii ya kisayansi inaitwa “Pandisha Levels”.

Pandisha Levels Ni Nini?

“Pandisha Levels” ni mbinu ya kisayansi ya kimahesabu inayosaidia kupunguza hasara katika betting hivyo kuongeza faida maradufu!.

Namna Ya Kuongeza Ushindi Na "Pandisha Levels"

Katika mbinu hii, pindi mkeka unapochanika mtumiaji atazidisha dau la mwanzo mara mbili ya  stake iliyopita ili atakaposhinda ashinde kwa faida kubwa na kufidia hasara iliyojitokeza katika mkeka uliopita uliochanika.

Na pindi mkeka unaposhinda mwanabet atarudi kuweka dau katika “stake yake ya awali” na kuendelea kutumia stake yake ya awali mpaka pale hasara itakapojitokeza tena.

Kabla ya kuanza kutumia mbinu hii unapaswa kufahamu mtaji wako na stake yako ya awali

Kupata Mtaji Hitajika

Kabla ya kuanza kutumia mbinu hii ya “Pandisha Levels” unapaswa kutenga mtaji maalumu kwa ajili ya biashara hii. Mtaji huo hautakiwi kutumiwa kubeti katika odds nyingine zozote isipokua katika “2+ Safe Basketball Odds”

Ili kufahamu unahitaji mtaji kiasi unapaswa kujiuliza… Je kwa mwezi unatamani kutengeneza faida kiasi gani? Ukipata jibu, chukua jibu lako kisha lizidishe mara 2! Yes huo ndio mtaji utakao hitajika kukupatia faida hiyo kwa mwezi. Kwa mfano unataka kutengeneza Tsh 500,000/= kwa mwezi. Utachukua Tsh 500,000/= x 2 = Tsh 1,000,000/= hivyo utahitaji kuwa na mtaji wa Tsh 1,000,000= kutengeneza faida ya Tsh 500,000Tsh kwa mwezi

Angalia Mifano Katika Jedwali Hili

Faida TazamiwaMtaji Unaohitajika
Tsh 100,000/=Tsh 200,000/=
Tsh 300,000/=Tsh 600,000/=
Tsh 400,000/=Tsh 800,000/=
Na Kuendelea....

Hakikisha kiwango cha faida unacho tazamia kinaendana na mtaji wako! Usitazamie faida kubwa kama huna mtaji wa kukuwezesha kuendana na faida hiyo.

Hesabu Kupata Stake Ya Awali

“Stake ya awali” ni kiwango cha stake cha mwanzo kabla ya mkeka wowote kuchanika. Stake ya awali inaendana na kiwango cha mtaji.

Ili kupata stake yako ya awali gawanya mtaji uliopata pale juu kwa 16. Yes kama ulipata mtaji wako ni Tsh 1,000,000/=, utachukua 1,000,000 ÷ 18 = 62,500/= Tsh. Hivyo stake yako ya awali ni Tsh 55,500/=Tsh

Angalia Mifano Katika Jedwali Hili

Mtaji WakoStake Ya Awali
Tsh 100,000/=Tsh 6,250/=
Tsh 300,000/=Tsh 18,750/=
Tsh 800,000/=Tsh 50,000/=
Na Kuendelea....

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Ut elit tellus, luctus nec ullamcorper mattis, pulvinar dapibus leo.