shindabetlogo-white

Mbinu Za Kubeti Mpira Wa Miguu

mbinu za kubeti ya kushinda mpira wa miguu

Je, unahangaika kupata mbinu za kubeti katika mpira wa miguu na umechoka kupoteza pesa kwa kampuni za kubeti?

Ikiwa ndivyo, sikiliza… Katika makala hii tutaangalia mbinu 5 za kubeti mpira wa miguu ambazo unaweza kutumia kushinda mikeka kila siku!

Mwongozo huu ndio dawa ya kubeti au tunaweza sema ndio uchawi wa kubeti kwani utakuonyesha kwa kina  jinsi ya kuyashinda kila siku makapuni ya kubeti.

Tuanze!

mbinu za kubeti na wataalamu wa kubeti

Moja ya mbinu rahisi ya kubeti ni kufuata na kucheza na wataalamu wa kubeti mpira wa miguu. Wataalamu wa kubeti wana mbinu, ujuzi na uzoefu wa kutosha. Katika kubeti ujuzi na uzoefu ndio huleta tofauti kati ya kushinda na kupoteza.

Wataalamu wa kubeti wana mbinu na mkakati iliyothibitisha kufanya kazi mara kwa mara na kwa muda mrefu.

Swali ni je, utawezaje kupata ujuzi na uzoefu wa kubeti bila kupoteza hela nyingi kwa muhindi?

Jibu ni “ndio” na ni rahisi sana…

Wafuate wataalamu wa kubeti mpira wa miguu kisha beti kama wao!

Wataalamu wa kubeti kama ShindaBet wana ujuzi na uzoefu wa kubeti na huweka mikeka ya uhakika yenye faida na kuyashinda makampuni ya kubeti. 

Ukiwafuata wataalamu wa kubeti sio tu utapata faida zaidi katika mikeka yako, bali pia uta rahisisha kazi ya kubeti. Kwani hutakuwa na maswali mengi juu ya namna ya kuweka beti au ni kiasi gani cha kuweka… Kila kitu kitafanywa kwa ajili yako!

ShindaBet ndio wataalamu wa kubeti Tanzania wenye takwimu nzuri za ushindi. Tunahitaji vijana 100 tu kwenye timu yetu hivyo ukibahatika kujiunga nasi utatumiwa odds na mikeka moja kwa moja kwenye simu yako kwa sms na email. Fahamu kwa nini tunahitaji vijana 100 tu.

2. Bobea Katika Ligi Au Mashindano

mbinu za kubeti kwa kujua ligi fulani

Kubobea katika ligi au aina fulani ya mashindano ni moja ya mbinu bora ya kubeti kwani utakua na uelewa wa kina na uzoefu na mambo yanayotokea katika ligi au mashindano hayo. mfano  unaweza kuamua kubobea katika ligi ya uingereza, ukaamua kufuatilia kwa undani fomu za timu, fomu za wachezaji, transfer na hata changamoto za kiufundi.

Ujuzi huu utakusaidia katika kubeti kwani utaweka mikeka inayotokana na facts sahihi, hivyo kupelekea kupata mikeka yenye uwezekano kushinda kila mara.

Ni muhimu kutambua kwamba kubobea katika mashindano au ligi fulani haimaanishi kujinyima katika ligi au mchezo mmoja tu, bali ni kuchagua maeneo machache ya kuzingatia na kukazia ili kuwa mtaalam katika maeneo hayo.

3. Handcapping

mbinu za kubeti kwa kutumia handcapping

Ni mbinu ya kubeti inayohusisha kuchambua michezo na takwimu zilizopita ili kutabiri matokeo yajayo. Ndugu wanabeti ili kubeti na kufanikiwa wala hauhitaji uchawi au dawa! Mbinu sahihi  ndio dawa ya kubeti na kushinda kila siku.

Tunapozungumzia hand capping tunamaanisha kuchambua mambo muhimu katika timu kama vile uchezaji wa timu, ubora wa wachezaji, rekodi za head to head, majeraha ya wachezaji na mengine mengi.  Uchambuzi huu utatusaidia kufahamu ubora na udhaifu uko upande upi ili tuweze kutabiri matokeo yanayoweza kutokea katika mchezo.

Wadau wanaotumia mbinu hii huchanganua mienendo na kuisoma michezo iliyopita ili kubaini ni mambo gani yanaweza kutokea kisha kuweka beti katika mambo hayo. Mfano timu fulani ni imara katika safu ya ufungaji na timu B ni dhaifu katika defensi yao hivyo kuweka beti kwamba timu A itashinda. 

Handcapping inaweza kuwa mbinu inayotumia muda mwingi lakini ni njia yenye faida kwa wale ambao wako tayari kuweka bidii kuuelewa mchezo na sababu zinazoathiri matokeo.

4. Mbinu Ya Value Betting

value betting in Tanzania

Ndiyo, value betting ni mbinu ya kubeti inayohusisha kutambua odds ambazo ni kubwa kuliko uwezekano halisi wa matokeo fulani kutokea. 

Kwa maneno mengine mwana beti smart hutafuta mahali ambapo odds zilizowekwa na kampuni ya kubeti ni kubwa kuliko uwezekano wa tukio fulani kutokea.

Baada ya kutambua dau lenye thamani, tunaweza kuweka beti kwenye matokeo hayo tukitarajia faida nzuri kwenye uwekezaji wetu. Hii ni kwa sababu  tunakuwa tumepata odds bora zenye thamani kuliko inavyopaswa. Kwa kufanya hivi kwa muda mrefu tuna uhakika wa kupata faida.

 

Value betting ni mbinu yenye faida kwa wale watakao weza kutambua odds zenye thamani kubwa zaidi na watakaoweza kuwa na nidhamu ya kufuata mbinu hii, kwani upata odds bora kuliko wanazotoa kampuni za kubeti hivyo kuwa katika upande faida.

5. Mbinu Ya Arbitrage Betting

kuweka mikeka na kushinda Tanzania

Hii ni mbinu ya kubeti kwa kutumia mkanganyiko wa odds katika kampuni mbili za kubeti na kujihakikisha ushindi bila kujali matokeo ya mchezo.

Ndio.. Mbinu hii inahusisha kuweka dau kwenye kampuni mbili tofauti zenye odds tofauti kwenye timu za mchezo mmoja (Huo ndio mkanganyiko wa ODDS). 

Kwa mfano, kuna mechi kati ya Barcelona na Real Madrid. Kampuni A ina odds ya 1.3 Barcelona kushinda mechi na 3.7 Real Madrid Kushinda mechi . 

Halafu kuna Kampuni B  ina odds ya 1.4  Barcelona kushinda mechi na 2.9 Real Madrid Kushinda mechi. 

Baada ya kupata odds zenye mkanganyiko, unaingia kwenye kampuni A unabeti Barcelona atashinda kisha kwenye kampuni B unabeti Real Madrid atashinda. 

Unaweza kubeti na kupata faida kwa njia hii ikiwa stake unayoweka itaendana ki propotion na odds za timu husika. Soma zaidi kuhusu arbitrage betting.

Je Wajua?

Asilimia 90% ya vijana wanao beti hupoteza fedha? Yes ni asilimia 10% tu ya wanaobeti ndio hupata faida katika mchezo wa kubeti. 

Hii imepelekea vijana wengi kuhangaika na kubeti bila ya mafanikio yoyote huku wakiendelea kumtajirisha muhindi.

Yes kampuni ya kubeti hunufaika na hasara zako! Pale unapochana mkeka hela uliyopoteza, kwao ni faida!! 

Jambo hili limesababisha vijana wengi kupata hasara licha ya kuwa mchezo wa kubeti una utajiri kubwa.

Tunajua umechoka kuchana mikeka na ungependa kubadilisha maisha yako kwa kuanza kubeti kwa kushinda, angalau urudishe kiasi cha fedha ulichopoteza kwa muhindi. 

Ondoa shaka ShindaBet tunatoa nafasi kwa vijana 100 kujiunga nasi. Yes.. vijana 100 tu!

Tungetamani kusaidia vijana zaidi ya 100 lakini hatuwezi kusajili watu zaidi ya 100. (Bofya jiunge nasi kufahamu zaidi)