shindabetlogo-white

Mikeka Ya Leo Ya Uhakika

Hii hapa mikeka ya leo ya uhakika. Baada ya uchambuzi makini wataalamu wetu wamekuletea mikeka bure ya uhakika ambayo kama ikitiki itakupatia ushindi mnono. Mikeka hiyo imesha postiwa kwenye magroup yetu ya Telegram na WhatsApp. Umejiunga? Kama bado unapitwa pakubwa mnooo!!  Jaza fomu kujiunga nasi leo. 

Kushinda mkeka wenye timu 2 ni rahisi na uhakika zaidi kuliko kushinda mkeka wenye timu nyingi. Hivyo tunakushauri kama unataka kushinda mara kwa mara chukua mkeka wenye odds 1.8-2.5 na timu 2 mpaka 3. Lakini kama unataka faida kubwa chukua mkeka wenye odds kubwa na timu nyingi zaidi.

ShindaBeti tuna wataalamu kutoka duniani kote ambao hutupatia taarifa nyeti na uchambuzi wa uhakika kuhusiana mechi zijazo za hivi karibuni. 

Taarifa hizi tunazitumia kuandaa mikeka Premium ambayo inauwezekano mkubwa wa kushinda. Mikeka hii pamoja na fomula yetu ya ushindi hupatikana kwa wafuasi wetu wote walio bahatika kujiunga nasi.

Mkeka Ni Nini

Ikiwa wewe ni mtu wa kubeti, lazima umeshakutana na hili neno. Mkeka ni mlolongo wa bashiri zilizowekewa dau. Mlolongo huu unaweza kujumuisha dau moja au mkusanyiko wa madau. 

Hesabu Ya Faida Ya Mkeka

Hesabu za mkeka ni hesabu rahisi na zisizoumiza kichwa. Kiasi unachoweza kushinda hupatikana kutokana na kuzidishwa kiasi ulicho beti (stake) pamoja na odds zote za mkeka wako.

Mfano umebeti kwenye mechi ya mpira kati ya Barcelona na Real Madrid. Kampuni ya kubeti hutoa odds kiotomatiki kwa kila tukio linaloweza kutokea katika mchezo mfano Barcelona kushinda, kutoa droo, idadi ya magoli itakayofungwa na kadhalika.

Ikiwa uliweka beti kwamba Barcelona itashinda, na odds za barcelona kushinda ni 2.3, kiwango chako cha kushinda ni 2.3 x (kiasi chochote ulichoweka kama dau kwenye mchezo huo).

Iwapo ubashiri wako  utaenda sawa na uli weka dau kiasi cha Tsh10,000, ushindi wako ni 2.3 x Tsh 10,000 = Tsh 20,300.

Mfano huo ni kwa timu moja na dau moja. Kwa timu zaidi ya moja na dau zaidi ya moja, fomula ni hiyo hiyo isipokua utazidisha odds zote na kisha kuzidisha kwa dau uliloweka ili kupata ushindi wako.

Ikiwa ubashiri wako hautafaulu, utapoteza dau lako lote na kuishia kubaki na sifuri.

Code Za Mikeka Tanzania

Ili kurahisisha uwekwaji wa mikeka makampuni ya kubeti wameleta system mpya ambayo mtu mmoja huweza kusambaza mkeka wake kwa watu wengine kwa kuingiza code fulani ambayo huwa katika mkeka wake. 

Ili uweze kupata mkeka wa rafiki yako kupitia kodi ni lazima uwe na simu ya mkononi au kompyuta yenye internet  na kisha utembele ukurasa wa nyumbani wa kampuni ya kubeti husika na mkeka waliopewa kisha chagua kiungo cha “kukagua betcode” (Kwa kawaida, sehemu hii ipo kwenye ukurasa wa nyumbani wa kampuni ya kubeti). 

Mfano katika picha unaonyesha ukurasa wa nyumbani wa tovuti ya Sportybet  ambapo kodi ya kubeti huwekwa.

Mkeka ya leo kubeti booking slip Tanzania

Unaweka code ya mkeka ili kutambulisha mkeka uliopewa kwenye sehemu iliyozungushiwa rangi nyekundu na kisha bofya Load ili kufanya mkeka uliopewa uonekane.

Kumbuka: Maelezo haya yanaweza kuwa yamepitwa na muda kwa kiasi fulani kulingana na tovuti ya kampuni ya kubeti unayotumia kubeti.

Ili kuangalia hali ya mkeka wako, unachotakiwa kufanya kufanya ni kulogin kwenye akaunt yako, na kisha utafute eneo la historia yako ya kubeti na utaweza kuona hali ya mikeka yako kama inaelekea kushinda, kushindwa au imeshachanika!

Je Wajua?

Asilimia 90% ya vijana wanao beti hupoteza fedha? Yes ni asilimia 10% tu ya wanaobeti ndio hupata faida katika mchezo wa kubeti. 

Hii imepelekea vijana wengi kuhangaika na kubeti bila ya mafanikio yoyote huku wakiendelea kumtajirisha muhindi.

Yes kampuni ya kubeti hunufaika na hasara zako! Pale unapochana mkeka hela uliyopoteza, kwao ni faida!! 

Jambo hili limesababisha vijana wengi kupata hasara licha ya kuwa mchezo wa kubeti una utajiri kubwa.

Tunajua umechoka kuchana mikeka na ungependa kubadilisha maisha yako kwa kuanza kubeti kwa kushinda, angalau urudishe kiasi cha fedha ulichopoteza kwa muhindi. 

Ondoa shaka ShindaBet tunatoa nafasi kwa vijana 100 kujiunga nasi. Yes.. vijana 100 tu!

Tungetamani kusaidia vijana zaidi ya 100 lakini hatuwezi kusajili watu zaidi ya 100. (Bofya jiunge nasi kufahamu zaidi)