shindabetlogo-white

Wataalamu Wakubeti Tanzania

Kuna wataalamu wengi wa kubeti Tanzania lakini je wana vigezo vya kuitwa wataalamu wa kubeti ? Ili uweze kuwa mtaalamu wa kubeti unahitaji muda mwingi wa kujifunza mambo mengi ili angalau uweze kupata matokeo chanya katika kubeti. Kumekua na wimbi  kubwa la watu wanaodai ni wataalamu wa kubeti bila kujali kama wanaufahamu vizuri mchezo wa kubeti? Leo tunachambua sifa 4 kuu ambazo lazima awe nazo mtaalamu wa kubeti

1. Uzoefu Wa Muda Mrefu

Ili mtu awe mtaalamu mbobezi katika maswala ya kubeti, ni lazima awe na uzoefu katika kubeti kwa muda usiopungua miaka mitano. Yes! miaka mitano ndio kiwango cha chini cha uzoefu kinachohitajika. Ndani ya miaka mitano, kila mwaka atakua amejifunza kitu kipya katika kubeti kama vile; atakua amejifunza namna ya kuchambua soka, mikakati na mbinu za kubeti kwa uhakika na pia atakuwa ameshafahamu kitu gani kinafaa na kitu gani hakifai katika betting! Jambo la kutengeneze mkakati madhubuti wa kubeti huchukua muda mrefu ndio maana mtaalamu yoyote wa kubeti lazima we na uzoefu usiopungua miaka mitano

2. Historia ya uwazi ya kubeti

Mtaalamu wa kubeti lazima aweke wazi rekodi zake za kubeti. Ni wataalamu wachache tu ambao wanaweza kuweka wazi rekodi zao ili wadau wa michezo wa kubeti waone. Jihadhari na wanaojiita wataalamu wa kubeti ambao hawana au wanasitasita kuweka wazi rekodi zao za utendaji. Ikiwa mtaalamu wa kubeti ataonyesha matokeo yasiyo na mwezi wa kupoteza basi hii ni dalili kuwa rekodi hizo zimechezewa.

3. Hufanya Uchambuzi

Mtaalamu wa michezo wa kubeti hufanya uchambuzi uchambuzi mchezo na kufanya  machaguo kulingana na facts na findings alizopata katika uchambuzi wake. – Ikiwa mtaalamu wa kubeti hawezi hata kutoa uchambuzi na hoja za kimsingi zilizopelekea chaguo walizofanya, basi kuna uwezekano kwamba mtaalamu huyo hutumia bahati katika kubeti kitu ambacho hakina faida kwa muda mrefu kwani kubeti ni sayansi hivyo ni lazima ufate taratibu za kisayansi! 

4. Huduma Za Bei Nafuu

Mtaalamu halisi wa kubeti huchaji bei nafuu kwa wafuasi wake kwani anakua amelenga kuwawezesha wafuasi wake kushinda na sio yeye kujipatia kipato kikubwa cha maramoja. Wapo scammers mitandaoni wanao  chaji hela kubwa wakidai kukupa sure odd. Mfano wengine huchaji mpaka 250,000/= kwa sure odd moja. Bei kama hii hailengi kumsaidia mdau wa kubeti bali inalenga kumkandamiza, kumpatia Scammer pesa. Wataalamu wa design hiyo wengi huwa ni scammers na unakuta tayari ameshafahamu kuwa hana uhakika na kazi yake hivyo anataka apige hela nyingi kutoka kwako kisha atokomee.

Je Wajua?

Asilimia 90% ya vijana wanao beti hupoteza fedha? Yes ni asilimia 10% tu ya wanaobeti ndio hupata faida katika mchezo wa kubeti. 

Hii imepelekea vijana wengi kuhangaika na kubeti bila ya mafanikio yoyote huku wakiendelea kumtajirisha muhindi.

Yes kampuni ya kubeti hunufaika na hasara zako! Pale unapochana mkeka hela uliyopoteza, kwao ni faida!! 

Jambo hili limesababisha vijana wengi kupata hasara licha ya kuwa mchezo wa kubeti una utajiri kubwa.

Tunajua umechoka kuchana mikeka na ungependa kubadilisha maisha yako kwa kuanza kubeti kwa kushinda, angalau urudishe kiasi cha fedha ulichopoteza kwa muhindi. 

Ondoa shaka ShindaBet tunatoa nafasi kwa vijana 100 kujiunga nasi. Yes.. vijana 100 tu!

Tungetamani kusaidia vijana zaidi ya 100 lakini hatuwezi kusajili watu zaidi ya 100. (Bofya jiunge nasi kufahamu zaidi)